RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar, mgeni wake Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Mhe.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar, mgeni wake Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Mhe. Esteban Lazo Hernandez, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-3-2025