Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi mbali mbali wengine alipowasili katika mahafali ya 23 ya kutunukiwa na kutoa Shahada
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi mbali mbali wengine alipowasili katika mahafali ya 23 ya kutunukiwa na kutoa Shahada ya Uzamili, Shahada,Diploma na vyeti yaliyofanyika leo katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Abdulrahman Al-Sumait University, Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi