Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi akipokea zawadi ya Samaki wa Jodari wakati alipojumuika na Mamia ya Wananchi kwenye Tamasha la Kwanza la Vumba lililofanyika V
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi akipokea zawadi ya Samaki wa Jodari wakati alipojumuika na Mamia ya Wananchi kwenye Tamasha la Kwanza la Vumba lililofanyika Viwanja vya Kizingo Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.