Dk.Hussein Ali Mwinyi amesisitiza umuhimu wa Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kujenga Umoja na kuondokana na ugomvi pamoja na makundi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza umuhimu wa Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM)…
Read More