State House Blog

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUSAFIRIKA MAHUJAJI WA ZANZIBAR NA KUSHIRIKI DUA MAAKLUMU YA KUMUMBEA ILIYOFANYIKA VIWANJA VYA IKULU LEO

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Taasisi za Kusafirisha Mahujaji wa Zanzibar, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-10-2024,katika Kikao cha kutathmini Hijja ya mwaka 1445 (Hijria) sawa na mwaka 2024, mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo 5-10-2024
  • Sheikh.Sayyid Othman Abdulqadir Othman akisoma dua, baada ya kumalizika kwa kisomo cha Dua Maalumu ya kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi na kuiombea Nchi kuendelea kuwa na Amani, iliyofanyika katika viwanja vya Ikuu Jijini Zanzibar leo 5-10-2024