State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Sadaka ya Futari kwa Wananchi wa Makundi Maalumu.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Hafsa Omar Hamad, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsalimia Mwananchi Hafsa Omar Hamad,kabla ya kukabidhi sadaka ya futari, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Abdulrahim Bakari Abdallah, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Sadaka ya Futari Mwananchi Aviwa Omar Khamis, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 12-3-2025, amakabidhi sakada hiyo ya futari kwa Wananchi wa makundi maalumu