State House Blog

MATEMBEZI NA MAZOEZI YA VIUNGO

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake kwa wanamichezo baada ya matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake kwa wanamichezo baada ya matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Vikundi mbali mbali vya mazoezi ya Viungo wakinyoosha na kupasha mwili mara baada ya matemezi yalioongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Vijana wa Vikundi mbali mbali wakipita kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi pamoja na Viongozi wengine katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Vijana wa Vikundi mbali mbali wakipita kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi pamoja na Viongozi wengine katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Vijana wa Vikundi mbali mbali wakipita kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi pamoja na Viongozi wengine katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Vijana wa Vikundi mbali mbali wakipita kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi pamoja na Viongozi wengine katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati) na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakiwapungia mikono wanamichezo wa vikundi mbali mbali wakipita mbele ya Jukwaa la VIP kwa maandamano wakimalizia matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi sambamba na Mazoezi ya Viungo ,katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) na Mkewe Mama Mariam Mwinyi pamoja na Viongozi wengine akiwepo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemedi Suleiman Abdulla (kulia) wakifanya mazoezi ya Viungo katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati) akiongoza matembezi sambamba na Mazoezi ya Viungo yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) na Mkewe Mama Mariam Mwinyi pamoja na Viongozi wengine akiwepo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemedi Suleiman Abdulla (kulia) wakifanya mazoezi ya Viungo katika Uwanja wa Amaan baada ya kumaliza matembezi yaliyoanzia Mnara wa Mapinduzi Square hadi Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanamichezo mbalimbali katika Tamasha la Mazoezi ya Viungo, baada ya kumaliza matembezi yaliyoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa ZABESA Ndg.Said Suleiman
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo Zanzibar, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024 ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na (kulia kwa Rais).Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa ZABESA Ndg. Said Suleiman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo Zanzibar, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024 ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na (kulia kwa Rais).Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa ZABESA Ndg. Said Suleiman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
  • WANANCHI wa mitaa ya Amani Unguja wakimsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakati akiongoza matembezi ya Tamasha la Kitaifa la mazoezi ya Viungo, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika leo 1-1-2024.
  • MWANANCHI wa mtaa wa mikunguni Unguja akiwa amembeba mtoto wake wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi , akiongoza Wanamichezo katika Tamasha la Kitaifa la matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya Michezani Square Wilaya ya Mjini Unguja na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiwasalimia Wananchi wakati wakipita katika mitaa ya barabara ya muembemimba, wakiwa katika Tamasha maalum la matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiwasalimia Wananchi wakati wakipita katika mitaa ya barabara ya muembemimba, wakiwa katika Tamasha maalum la matembezi na mazoezi ya viungo, lililoazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani na kumalizikia katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo