State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Hafla ya kukabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Ikulu Jijini Dar Es Salaam.

  • MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) Mhe.Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage, akiwasilisha Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika Mwaka 2020, wakati wa hafla ya kukabidhi ripoti hiyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan.(kushoto) na (kulia) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakifuatilia ripoti hiyo, ikiwasilishwa katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Saaam.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama baada ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.(hayupo pichani)akizungumza baada ya kukabidhiwa kwa Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania kwa mwaka 2020, na(kushoto kwake) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango na (kulia kwake) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwake) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango na (kulia kwake) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim MajaliwaMajaliwa ,wakifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan,baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage,(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Da es Salaam
  • RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akihutibia katika hafla ya kukabidhiwa kwa Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania uliofanyika mwaka jana 2020, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwake) Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango na (kulia kwake) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Athuman Kattanga,wakifuatilia hutuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage,(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Da es Salaam.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika Sala ya Kuusalia Mwili wa Marehemu Yahya Abdulwakil.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimfariji na kumpa pole Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar Mhe. Ahmad Yahya Abdulwakil kwa kufiwa na Baba yake mzazi Marehemu Yahya Abdulwakil, wakati akiwasili katika Masjid Ameirtajo Mpendae Wilaya ya Mjini Unguja, kuhudhuria maziko na Ibada ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid hiyo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia hutuba ya Ibada ya Sala ya Ijumaa ikisomwa na Khatibu Sheikh. Khalid Ali Mfaume, kabla ya Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Ameirtajo Mpendae Wilaya ya Mjini Unguja.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Ibada ya Sala ya jeneza kuusalia mwili wa marehemu Yahya Abdulwakil, Baba Mzazi wa Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar (kushoto kwa Rais) Mhe. Ahmada Yahya Abdulwakil, Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu. Alhaj Balozi Seif Ali Iddi na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi na (kulia kwa Rais)Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Mhe.Zuberi Ali Maulid.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Yahya Abdulwakil Baba mzazi wa Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar Mhe. Ahmada Yahya Abdulwakil, iliofanyika katika Masjid Ameirtajo Mpendae Wilaya ya Mjini Unguja.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe.Ali Al Mahrooq aliyefika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe.Ali Al Mahrooq (katikati) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini akiwa na Balozi Mdogo wa Oman hapa Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi (kushoto).
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe.Ali Al Mahrooq (katikati) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akibadilishana mawazo na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe.Ali Al Mahrooq baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuaga akiwa amemaliza muda wake wa Kazi Nchini.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika picha na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe. Ali Al Mahrooq (kushoto) aliyefika Ikulu Jijini Zanzibar,kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini akiwa na Balozi Mdogo wa Oman hapa Zanzibar Mhe. Said Salim Al Sinawi (kulia).
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Balozi wa Oman Nchini Tanzania Mhe.Ali Al Mahrooq aliyefika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Nchini.

Rais Dk.Mwinyi asisitiza kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Corona

  • Rais Dk.Mwinyi asisitiza kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Corona,akisisitiza kuwa mbali na Ugonjwa huo kuathiri afya za binaadamu lakini pia unadhoofisha uchumi wa nchi.
  • Rais Dk.Mwinyi asisitiza kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Corona,akisisitiza kuwa mbali na Ugonjwa huo kuathiri afya za binaadamu lakini pia unadhoofisha uchumi wa nchi.
  • Rais Dk.Mwinyi asisitiza kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Corona,akisisitiza kuwa mbali na Ugonjwa huo kuathiri afya za binaadamu lakini pia unadhoofisha uchumi wa nchi.
  • Rais Dk.Mwinyi asisitiza kuendelea kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa Corona,akisisitiza kuwa mbali na Ugonjwa huo kuathiri afya za binaadamu lakini pia unadhoofisha uchumi wa nchi.

Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi Ikulu Zanzibar

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania Mhe.rof. Palamagamba Kabudi, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo akiwa na Ujumbe wake,mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwa (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwa (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Sheria na Katiba Tanzania Mhe Prof. Palamagamba Kabudi (kulia kwa Rais)na(kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katika Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.