State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amefungua Kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania na Afrika Mashariki Mhe.Christine Grau, baada ya ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya, linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 27-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya,linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 27-2-2025
  • WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizundua Ripoti ya Umoja wa Ulaya ya Uwekezaji Zanzibar na (kulia) Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania na Afrika Mashariki Mhe. Christine Grau, uzinduzi huo uliyofanyika leo 27-2-2025, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akionesha Kitabu cha Ripoti ya Uwekezaji ya Umoja wa Ulaya Zanzibar akiwa na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania na Afrika Mashariki Mhe.Christine Grau, baada ya kuizindua leo 27-2-2025, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya, linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa saini wa sapoti ya Umoja wa Ulaya (EU) na Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) akisaini Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar Ndg.Saleh Saad Mohamed, kwa upande wa EU amesaini Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania na Afrika Mashariki Mhe. Christine Grau (kushoto) wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya, lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 27-2-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya,linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 27-2-2025
  • WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025
  • WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025
  • WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025
  • WASHIRIKI wa Kongamano la Biashara Kati ya Zanzibar na Umoja wa Ulaya wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar lililofanyika leo 27-2-2025

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Msikiti Mpya katika Kijiji cha Mangapwani na Kupewa Jina La Msikiti Wa Mzee Ali Hassan Mwinyi

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na kutowa shukrani kwa Familia ya Zakaria wakati wa ufunguzi wa Masikiti uliyojengwa na familia ya Zakaria na kupewa jina la Msikiti wa Mzee Ali Hassan Mwinyi, ufunguzi huo uliyofaika leo 23-2-2025, baada ya kisomo cha hitma na dua kumuombea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Marehemu Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na kutowa shukrani kwa Familia ya Zakaria wakati wa ufunguzi wa Masikiti uliyojengwa na familia ya Zakaria na kupewa jina la Msikiti wa Mzee Ali Hassan Mwinyi, ufunguzi huo uliyofaika leo 23-2-2025, baada ya kisomo cha hitma na dua kumuombea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Marehemu Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua Msikiti Mpya uliojenga na Zakaria na Familia yake katika Kijiji cha Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja na kupewa Jina la Msikiti wa Mzee Ali Hassan Mwinyi, ufunhuzi huo uliyofanyika leo 23-2-2025, baada ya kumalizika kwa Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi. Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na (kushoto kwa Rais) Mohamed Zakaria na Naimu Zakaria na (kulia kwa Rais) Nadim Zakaria
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud Mussa Wadi, wakiwa katika kaburi la marehemu, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua, iliyofanyika leo 23-2-2025 katika viwanja vya Zawiyani Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezindua ZANZIBAR SUKUK katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akizindua kitabu cha muongozi wa Zanzibar SUKUK,wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025, (kushoto) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akizindua kitabu cha muongozi wa Zanzibar SUKUK,wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum. na CPA.Juma Amour Mohammed na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua kitabu cha muongozi wa Zanzibar SUKUK,wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum. na CPA.Juma Amour Mohammed
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzindua Zanzibar SUKUK, hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025
  • VIONGOZI mbalimbali wa Serikali na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Zanzibar SUKUK, uliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025
  • VIONGOZI mbalimbali wa Serikali na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Zanzibar SUKUK, uliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 22-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya Uzinduzi wa Zanzibar SUKUK, uzinduzi huo uliyofanyika leo 22-2-2025 katika viwanja vya Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Kamishna wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware, baada ya kumalizika kwa mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania na kuwasilishwa kwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali na kuonesha Kitabu cha Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, baada ya kukabidhiwa, wakati wa hafla ya mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Kamishna wa Bima Tanzania Dkt. Baghayo Saqware, baada ya kumalizika kwa mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania na kuwasilishwa kwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
  • BALOZI wa Bima Tanzania Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi. Zena Ahmed Said, akipiga makofi kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia katika mkutano wa kupokea Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025 na (kulia kwake) Kamishna wa Bima Tanzania Dkt.Baghayo Saqware na (kushoto kwake) Naibu Kamisha wa Bima Khadija Said
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, akikabidhiwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Bima Tanzania Dr. Suleiman Rashid Mohamed, baada ya kuwasilisha katika mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025 na (kulia kwake) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Saada Mkuya Salum
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali na kuonesha Kitabu cha Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, baada ya kukabidhiwa, wakati wa hafla ya mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa kupokea Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa kupokea Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa kupokea Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania na kukabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania na kukabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya mkutano wa Wadau wa Bima Tanzania na kukabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • WASANII wa Kikundi cha sanaa Chuo cha Mafunzo Zanzibar wakitowa burudani wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwasili katika viwanja vya Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa ajili ya kupokea Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania, uliyofanyika leo 20-2-2025 katika ukumbi wa hoteli hiyo
  • KAMISHNA wa Bima Tanzania (TIRA) Dkt. Baghayo Saqware akiwasilisha Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania kwa mwaka ulioisha 31,Disemba 2024, kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitambulishwa Watendaji Wakuu wa Bima Tanzania na Kamishna wa Bima Tanzania (TIRA) Dkt.Baghayo Saqware, alipowasili katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 20-2-2025, kwa ajili ya kukabidhiwa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Tanzania

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezindua BOTI tatu za kusafirisha Wagonjwa Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja kwa ajili ya uzinduzi wa Boti Tatu za kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat”, uzinduzi huo uliyofanyika leo 19-2-2025 na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika moja ya Boti za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” baada ya kuzizindua leo 19-2-2025 katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuzindua Boti tatu za kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” uzinduzi huo uliyofanyika leo 19-2-2025, katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na Kaimu Mkurugenzi Benki ya Dunia Milena Stefanova na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwa Rais) Meneja wa Benki ya Dunia Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika Dkt. Ernest Massiah
  • WAFANYAKAZI Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • MUONEKANO wa moja ya Boti 3 za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • WAFANYAKAZI Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • WAFANYAKAZI Wizara ya Afya Zanzibar wakishangilia katika hafla ya uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika katika eneo la Hotel ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • MUONEKANO wa moja ya Boti 3 za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • MUONEKANO wa moja ya Boti 3 za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Boti Tatu za Kusafirisha Wagonjwa “Ambulance Boat” uzinduzi huo uliyofanyika lkatika eneo la Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar leo 19-2-2025