State House Blog

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA TAASISI ZA KUSAFIRIKA MAHUJAJI WA ZANZIBAR NA KUSHIRIKI DUA MAAKLUMU YA KUMUMBEA ILIYOFANYIKA VIWANJA VYA IKULU LEO

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Taasisi za Kusafirisha Mahujaji wa Zanzibar, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-10-2024,katika Kikao cha kutathmini Hijja ya mwaka 1445 (Hijria) sawa na mwaka 2024, mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo 5-10-2024
  • Sheikh.Sayyid Othman Abdulqadir Othman akisoma dua, baada ya kumalizika kwa kisomo cha Dua Maalumu ya kumuombea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi na kuiombea Nchi kuendelea kuwa na Amani, iliyofanyika katika viwanja vya Ikuu Jijini Zanzibar leo 5-10-2024

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.,Hussein Ali Mwiny amefungua Mkutano wa 11 wa Tanzania Health Summit katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu ya kuthamini Mchango wake katika Sekta ya Afya, iliyotolewa na Tanzania Health Summit, akikabidhiwa na Muazilishi wa Taasisi hiyo Dr.Omar Chilo, wakati wa hafla ya ufungaji wa Mkutano huo wa 11 uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B”Unguja, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu ya kuthamini Mchango wake katika Sekta ya Afya, iliyotolewa na Tanzania Health Summit, akikabidhiwa na Muazilishi wa Taasisi hiyo Dr.Omar Chilo, wakati wa hafla ya ufungaji wa Mkutano huo wa 11 uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B”Unguja
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa 11 wa “Tanzania Health Summit 2024” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutbia na kuufunga Mkutano wa 11 wa “Tanzania Health Summit 2024” uliyofanyika Zanzibar katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, uliyoshirikisha Wadau mbalimbali wa Sekta ya Afya
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Dr.Wilfred Senyoni wa Taasisi ya “HISP tz” Wakati akitembelea maonesho ya Tanzania Health Summit, kabla ya kuufungua mkutano huo wa 11,uliyofanyika katika ukumbi wa viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B”Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Hassan Khamis Hafidh
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa 11 wa “Tanzania Health Summit 2024” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa 11 wa “Tanzania Health Summit 2024” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
  • WASHIRIKI wa Mkutano wa 11 wa “Tanzania Health Summit 2024” wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza Dr.Amy Niambo Ndao Fall wa Taasisi ya “Sanofi Global Health Unit”. Wakati akitembelea maonesho ya Tanzania Health Summit, kabla ya kuufungua mkutano huo wa 11, uliyofanyika katika ukumbi wa viwanja vya Maonesho Dimani Wilaya ya Magharibi “B”Unguja na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Mgeni Rasmiin Maulidi ya kuzaliwa Mtume Muhammad SAW katika kijiji cha Jongowe Tumbatu

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Jongowe Tumbatu wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 1-10-2024,katika Kijiji hicho cha Jongwe Wilaya Ndogo ya Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuka na Viongozi na Wananchi wa Jongowe Tumbatu katika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) ya Wananchi wa Jongowe Tumbatu yaliyofanyika leo 1-10-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Jongowe Tumbatu wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 1-10-2024,katika Kijiji hicho cha Jongwe Wilaya Ndogo ya Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu iliyotolewa na Wananchi wa Jongowe Tumbatu, akikabidhiwa na Mwanafunzi wa Madrasatul Jawhar Atfal Jongowe Khamis Mohammed Hamza, wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 1-10-2024 katika Kijiji hicho
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Hussein Ali Mwinyi akitia ubani kuyafungua Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) ya Kijiji cha Jongowe Tumbatu yaliyofanyika leo 1-10-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Madrasatul Jawhar Atfal (kushoto kwa Rais) Khamis Mohammed Hamza na (kulia kwa Rais) Yahya Suleiman Haji, akiwa na zawadi maalumu aliyokabidhiwa wakati wa hafla ya Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad(SAW) ya Kijiji cha Jongowe Tumbatu yaliyofanyika leo 1-10-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuyafungua Maulidi ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe Wilaya Ndogo ya Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja 1-10-2024, na (kushoto kwa Rais) Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu Mhe. Haji Omar Kheri na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais,Katiba,Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Alhajj Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa.
  • WANANCHI wa Jongowe Wilaya Ndogo ya Tumbatu, Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimpokea Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa ajili ya kuhudhuria Maulidi ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 12-10-2024 katika Kijiji hicho.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wazee wa Jongowe Wilaya Ndogo ya Tumbatu, alipowasili katika kijiji hicho kwa ajili ya kuhudhuria Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 1-10-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wazee wa Jongowe Wilaya Ndogo ya Tumbatu, alipowasili katika kijiji hicho kwa ajili ya kuhudhuria Maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaliyofanyika leo 1-10-2024

Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya awamu 1 na makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port kwa ajili ya Uendeshaji wa Bandari hiyo.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi Maalumu ya picha ya Meli ya Kampuni ya CMA CGM na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni hiyo “East Africa Cluster” Naveen Prabhu, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port Limited, hafla hiyo iliyofanyika katika bandari ya Mkoani Pemba leo 30-9-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani Pemba kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya Uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika katika viwanja vya Bandarini Mkoani leo 30-9-2024.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani Pemba kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya Uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika katika viwanja vya Bandarini Mkoani leo 30-9-2024.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani Pemba kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya Uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika katika viwanja vya Bandarini Mkoani leo 30-9-2024.
  • WAGENI waalikwa na Wananchi wa Mkoani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Bandari Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo 30-9-2024
  • WAGENI waalikwa na Wananchi wa Mkoani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Bandari Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo 30-9-2024
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na (kulia kwake) Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe. Dkt.Khalid Salum Mohammed na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe Mattar Zahor Masoud, wakishangilia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Ami 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024 katika Bandari ya Mkoani Pemba Mkoa wa Kusini Pemba
  • WAGENI waalikwa na Wananchi wa Mkoani Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika viwanja vya Bandari Mkoani Pemba, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port Limited kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo 30-9-2024
  • VIJANA wa Uhamasishaji wakishangilia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani Pemba kwa Kampuni ya Fumba Port kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024
  • VIJANA wa Uhamasishaji wakishangilia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Amu 1 na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani Pemba kwa Kampuni ya Fumba Port kwa ajili ya uendeshaji wa Bandari hiyo, hafla hiyo iliyofanyika leo 30-9-2024
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Mwenyekiti wa Fumba Port.Mohammed Jaffar, wakati wa Uzinduzi wa Meli ya Kwanza ya Makontena ya Ami 1 ya Kampuni ya Lamu Shipping Limited , na Makabidhiano ya Bandari ya Mkoani kwa Kampuni ya Fumba Port kwa uendeshaji wa Bandari hiyo, uzunduzi huo uliyofanyika leo 30-9-2024