Media

DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI NA WAFANYAKAZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ameeleze azma ya Serikali ya kuliimarisha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC), pamoja na kuzingatia maslahi mazuri…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimsikiliza Balozi wa Jamhuri ya Korea Nchini Tanzania Mhe.CHO Taeick wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.

DK.SHEIN AMEKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI TANZANIA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Jamhuri ya Korea kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar na kusisitiza haja ya kuwepo ushirikiano katika sekta…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akijibu suala wakati wa mahojiano na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Zanzibar Ndg,Chande Omar Omar yanayohusu miaka tisa ya Uongozi wake,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Za

MAHOJIANO YA DK.SHEIN NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuridhishwa na mafanikio makubwa yaliopatikana Zanzibar chini ya uongozi wake wa Serikali ya Awamu ya Saba…

Read More

Dk.Shein ameahidi kuendelea kushirikiana na Wapatholojia wote nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameahidi kuendelea kushirikiana na Wapatholojia wote nchini na kusisitiza haja ya kuwatunza na kuwalea kutokana na…

Read More

Uzinduzi wa Vitambulisho vipya vya Kieletroniki (SMART CARDS) vya Mzanzibar mkaazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema matumizi ya Vitambulisho vipya vya Mzanzibari mkaazi (smart card) yataiwezesha serikali kuweka na kuhifadhi…

Read More

DK.SHEIN AMEKUATANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar itaendelea kuthamini uhusiano na ushirikiano uliopo kati yake na Jamhuri ya Watu wa China sambamba…

Read More

DK.SHEIN AMEFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein amesema kwamba matumizi mazuri ya ardhi na usimamizi bora wa mazingira ni misingi muhimu katika maendeleo ya Taifa lolote…

Read More
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi, wakitembelea maonesho ya Wajasiriamali Wanawake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohame

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AMEFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI WANAWAKE ZANZIBAR.

MKE wa Rais wa Zanzibar, mama Mwanamwema Shein amesema shughuli za ujasiriamali zinahitaji taaluma ili ziweze kufanyika kwa ufanisi na kuleta tija pamoja na kuondokana na changamoto.

Read More