Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea heshima kutoka kwa Jeshi la Polisi katika uwanja wa Ukumbi Jeshi la Polisi Ziwana, alipohudhuria Baraza la Eid el-Fitri lililofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Polisi, Ziwani, Mkoa wa Mjini Magharib
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Waumini wa Dini ya Kiisilamu pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar baada ya kuwasili kwenye ibada ya Sala ya Eid al-Fitr iliyosaliwa leo, tarehe 21 Machi 2026, katika Msikiti wa Jamiu Zinjibar, Kiembe Samaki, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisaini Jezi baada ya kuzungumza wakati alipokutana na timu ya wataalamu wa masuala ya fedha kutoka Taasisi ya Tanzania Securities Limited, iliyoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Ndg. George Shumbusho, waliofika Ikulu, Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwasili na ujumbe wake katika Viwanja vya JS, Chato, Mkoa wa Geita leo tarehe 17 Machi,2026 katika Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Hayati Dkt. Magufuli yaliyofanyika Viwanja vya JS, Chato, Mkoa wa Geita.
Media
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa katika futari ya pamoja aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu, Mkoa wa Mjini Magharibi, na kuhudhuriwa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa pamoja na viongozi wa ngazi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi. Pia imehudhuriwa na Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea heshima kutoka kwa Jeshi la Polisi katika uwanja wa Ukumbi Jeshi la Polisi Ziwana, alipohudhuria Baraza l
21 Mar 2026
by Ikulu Staff
Dkt.Mwinyi ametoa wito wa kuendeleza moyo wa kusaidiana baada ya Ramadhan
21 Mar 2026
by Ikulu Staff
Dkt.Mwinyi ametoa Mkono wa Eid kwa wananchi waliofika Ikulu
21 Mar 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Waumini wa Dini ya Kiisilamu pamoja na Viongozi mbali mbali wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar b
21 Mar 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
English
Swahili