Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja Ndugu Rajab Ali na Mkuu wa Wilaya ya Kusini ndugu Othman Ali maulid mara baada ya kuwafutarisha Wananchi wa Mkoa wa kusini Unguja.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkapizi mfano wa hundi mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Qur'aani ndugu Abdulaaziz Ali Khamis kutoka Zanzibar aliyepata pointi 99.5 na kujishindia shilingi milioni 30.Mashindano ya mwaka huu yameshirikisha washiriki kumi na moja (11) kutoka mataifa mbalimbali Duniani.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza baada ya kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Futari ya pamoja aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi na Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Unguja Mheshimiwa Gallos Nyimbo mara baada ya kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari ya pamoja aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi.Hafla hiyo imefanyika leo tarehe 05 Machi 2026 katika Ukumbi wa Sheikh Idris Abdul Wakil, Kikwajuni, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Kati Unguja Ndugu Rajab Ali na Mkuu wa Wilaya ya Kusini ndugu Othman Ali maulid m
14 Mar 2026
by Ikulu Staff
Dkt.Mwinyi amefutarisha Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja.
14 Mar 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkapizi mfano wa hundi mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Qur’aani ndugu Abdulaaziz Ali Khamis kutoka Zanzibar aliyepata p
14 Mar 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt. Mwinyi amesema mashindano ya Dunia ya kuhifadhi Qur’aan yanazidi kuitambulisha Zanzibar Kimataifa.
14 Mar 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
English
Swahili