News and Events

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kutekeleza programu mbalimbali za zao la mwani Unguja na Pemba ili kuwaunga mkono na kuinua juhudi za kinamama

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kutekeleza programu mbalimbali za zao la mwani Unguja na Pemba ili kuwaungamkono na kuinua juhudi za kinamama wengi wanaojishughulisha na kilimo cha zao hilo.Rais… Read More

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema eneo la Mangapwani kwa sasa litakuwa kituo kiuu cha biashara ya mafuta nchini.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema eneo la Mangapwani kwa sasa litakuwa kituo kiuu cha biashara ya mafuta nchini.Akizungumza kwenye ghafla ya uzinduzi wa Bohari ya mafuta Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja,… Read More

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesifu maendeleo makubwa ya kiuchumi yaliyofikiwa na Ufilipino kupitia sekta mbalimbali.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesifu maendeleo makubwa ya kiuchumi yaliyofikiwa na Ufilipino kupitia sekta mbalimbali.Alisema Zanzibar ina mengi ya kujifunza kwa Ufilipino… Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafungulia kesi za uhujukumu uchumi wafanyabiashara watakaobainika kwa makusudi wanaficha vyakula.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua kali ikiwemo kuwafungulia kesi za uhujukumu uchumi wafanyabiashara watakaobainika kwa makusudi wanaficha vyakula na bidhaa kwa lengo la kuwapandishia… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wadau kwenye sekta ya utalii kuboresha huduma ziendane na mazingira ya wakati uliopo ili kukidhi haja na mahitaji ya wageni wanaoitembelea Tanzania

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wadau kwenye sekta ya utalii kuboresha huduma ziendane na mazingira ya wakati uliopo ili kukidhi haja na mahitaji ya wageni… Read More