Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa mkopo wa Shilingi Bilioni 240 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Benki ya CRDB kwa ajili ya ujenzi wa skuli 23 za kisasa za ghorofa hapa Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Rais wa Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah wakati alipojumuika na Viongozi Wakuu wa Serikali katika Dhifa ya Chakula cha Usiku iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa heshima ya Rais huyo.
Media
News and Events
Rais wa jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaMama Samia Suluh Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakiwa katika picha ya pamoja katika uzinduzi wa Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ya mwaka 2001, toleo jipya la mwaka 2024, katika ukumbi wa kimataifa wa mwalimu Nyerere Dar es Saalam
Media
News and Events
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa kipazia wakati alipofungua Tawi la CCXM Mpendae Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi,Unguja tarehe 17 Mei 2025.
Media
News and Events
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya Msahafu na Sheikh Mohamed Omar Alsheikh Juda, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Jibril Fuoni Bwiti Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-5-2025
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa mkopo wa Shilingi Bilioni 240 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na B
21 May 2025
by Ikulu Staff
Dk. Mwinyi amesema Mkopo wa Billioni 240 ni wa kujenga Skuli za Ghorofa 23 Zanzibar.
21 May 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Rais wa Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah wakati alipojumuika na Viongozi Wakuu wa Serikali
21 May 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluh Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakiwa katika picha ya pamoja katika uzind
20 May 2025
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mhe. Ali Suleiman Ameir kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026
13 May 2025
Hotuba ya maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Tarehe: 11 Januari, 2025
11 Jan 2025
Hotuba ya Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika Sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi, Jengo la Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mjini Magharibi.
19 Apr 2024
Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Duru ya kwanza ya Utoaji wa Vitalu kwa Kampuni kwa Maeneo ya Baharini
20 Mar 2024
English
Swahili