President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us
  • Ikulu
    State House Zanzibar

    State House Zanzibar

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akitunukiwa Tuzo Maalum ya kuwa Mhamasishaji Bora wa Sekta ya Uwekezaji Zanzibar, kwa juhudi zake za kufungua milango ya uwekezaji Zanzibar, ikiwemo kukifungua kiuchumi Kisiwa cha Pemba na kuwavutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi.

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na ujumbe wa wataalamu kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Mkurugenzi Mkaazi wa Benki hiyo nchini Tanzania, Nathan Belete, uliofika Ikulu leo tarehe 17 Juni 2025.kuonana na mheshimiwa Rais.Dkt. Mwinyi.

  • Media
    News and Events

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalumu ya Heshima, wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Kwanza la Kitaaluma la Utumishi wa Umma, akikabidhiwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania Mhe.Deus Clement Sangu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Dkt.Haroun Ali Suleiman, (wakiwa kushoto kwa Rais) hafla hiyo ya ufunguzi wa Kongamano hilo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 17-6-2025

  • Media
    News and Events

    Rais Dkt. Mwinyi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi akimkabithi Kitabu Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk katika uzinduzi wa Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025 linaloendelea katika Maeneo Huru ya Uwekezaji Maziwang’ombe Mkoani hapo.

  • Media
    News and Events

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof.Song Li Juan, baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-6-2025

H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi President

H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi

  • President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President

News and Events

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuwekeza zaidi katika Michezo.

  • 18 Jun 2025
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akitunukiwa Tuzo Maalum ya kuwa Mhamasishaji Bora wa Sekta ya Uwekezaji Zanzibar, kwa juhudi zake za kufungua milan

  • 18 Jun 2025
  • by Ikulu Staff

Rais Mwinyi ametunukiwa Tuzo ya Mhamasishaji Bora wa Uwekezaji

  • 18 Jun 2025
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na ujumbe wa wataalamu kutoka Benki ya Dunia ulioongozwa na Mkurugenzi Mkaazi wa Benki hiyo nchini Tanz

  • 17 Jun 2025
  • by Ikulu Staff
More News and Events

Videos

Facebook

Publications

  • Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mhe. Ali Suleiman Ameir kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

    • 13 May 2025
  • Hotuba ya maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Tarehe: 11 Januari, 2025

    • 11 Jan 2025
  • Hotuba ya Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika Sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi, Jengo la Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mjini Magharibi.

    • 19 Apr 2024
  • Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Duru ya kwanza ya Utoaji wa Vitalu kwa Kampuni kwa Maeneo ya Baharini

    • 20 Mar 2024
  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of Finance and Planning Zanzibar

Talk to the President App

© Copyright 2025 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail