Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kwa Kanda ya Afrika, Profesa. Mohamed Yakub Janabi, Ikulu Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Kiongozi wa Chama cha Mawakili Zanzibar Wakili Joseph Shaban Magazi, waliomtembelea Ikulu, Zanzibar.na kuushauri uongozi wa chama hicho kutafuta ufumbuzi wa kudumu wa changamoto inayowakabili wanafunzi wa shahada ya sheria wanaoshindwa kuendelea na masomo yao.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wanaoenda kuiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali Ulimwenguni na kuwaambia wazingatie diplomasia ya kiuchumi kwa kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki pamoja na viongozi wa kitaifa, wanafamilia na wananchi mbalimbali katika dua maalum ya kumuombea aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Mufti Mkuu wa Zanziba mara baada ya kuwasili katika Msikiti wa Mzee Ali Hassan Mwinyi, Mangapwani kushiriki Sala ya Ijumaa iliyoambatana na Dua Maalum ya kuiombea nchi, Viongozi na marehemu Nchini.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kwa Kanda ya Afrika, Profesa. Mohamed Yakub Janabi, Ikulu Zanzibar.
09 Apr 2026
by Ikulu Staff
Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kuhakikisha mafanikio zaidi yanapatikana katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini
09 Apr 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Kiongozi wa Chama cha Mawakili Zanzibar Wakili Joseph Shaban Magazi, waliomtembelea Ikulu, Zanzibar.
09 Apr 2026
by Ikulu Staff
Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekihakikishia Chama cha Mawakili Zanzibar kuwa Serikali inathamini na kuunga mkono kazi nzuri inayofanywa na taasisi hiyo ya kuwasaidia wananchi katika masuala ya kisheria.
09 Apr 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
English
Swahili