Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Officer Incharge
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa na wahitimu pamoja na uongozi wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) akiwa Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 63 ya IIT Madras, yaliyofanyika leo, tarehe 17 Julai 2026, jijini Chennai, India.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Julai 2026, wakati wa Jukwaa la Nne la Kuuenzi Urithi wa Mkapa pamoja na Maadhimisho ya Miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlotta Ozaki Macias, aliyefika Ikulu Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 13 Julai 2026, akiingia katika viwanja vya Maonyesho na kuyafunga rasmi Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ya Jubilei ya Miaka 50, akisisitiza kuwa maonesho hayo yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji, ubunifu, matumizi ya teknolojia na kuimarisha ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akifungua Kipazia kuashiria ufunguzi wa Msikiti wa Abrar, uliopo Fuoni Kibondeni, Mkoa wa Mjini Magharibi leo, tarehe 10 Julai 2026, wakati alipojumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa na wahitimu pamoja na uongozi wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) akiwa Mgeni Rasmi katika
17 Jul 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt. Mwinyi amesema Elimu na Ubunifu viwe chachu ya mabadiliko na Maendeleo ya Jamii
17 Jul 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt. Mwinyi amesema kuwawezesha Vijana n a kuimarisha Mifumo ya Afya ni njia bora ya kuenzi urithi wa Mzee Mkapa.
16 Jul 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Julai 2026, wakati wa Jukwaa la Nne la Kuuenzi Urithi wa Mkapa pamoja na Maadhimisho ya Mia
16 Jul 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
English
Swahili