News and Events

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa (UNICEF)

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajivunia ushirikiano wake na Wadau wa Maendelo likiwemo Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu na Watoto diniani, (UNICEF).Rais wa Zanzibar na… Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kupambana maeneo tofauti ili ifanikishe miradi yake iliyoidhamiria kuifanikisha kwaajili ya kuendelea kuwaletea Maendeleo wananchi wake.Rais wa Za

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajitahidi kupambana maeneo tofauti ili ifanikishe miradi yake iliyoidhamiria kuifanikisha kwaajili ya kuendelea kuwaletea Maendeleo wananchi wake.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameendelea kusisitiza dhamira yake njema ya kuiunganisha tena Zanzibar kuwa moja yenye amani, upendo, maridhiano na mshikamo.Ameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozindua tena

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameendelea kusisitiza dhamira yake njema ya kuiunganisha tena Zanzibar kuwa moja yenye amani, upendo, maridhiano na mshikamo.Ameyasema… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali ina wajibu wa kutenga bajeti ya kuwawezesha watumishi wake hususan wa kada ya watunza kumbukumbu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali ina wajibu wa kutenga bajeti ya kuwawezesha watumishi wake hususan wa kada ya watunza kumbukumbu.Rais Dk. Mwinyi aliyasema… Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kupitia Wizara yake ya Elimu na Mafunzo ya Amali.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kupitia Wizara yake ya Elimu na Mafunzo ya Amali. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.… Read More