President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
    • Officer Incharge
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us
  • Ikulu
    State House Zanzibar

    State House Zanzibar

  • Media

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa na wahitimu pamoja na uongozi wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) akiwa Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 63 ya IIT Madras, yaliyofanyika leo, tarehe 17 Julai 2026, jijini Chennai, India.

  • Media

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Julai 2026, wakati wa Jukwaa la Nne la Kuuenzi Urithi wa Mkapa pamoja na Maadhimisho ya Miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation, yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlotta Ozaki Macias, aliyefika Ikulu Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 13 Julai 2026, akiingia katika viwanja vya Maonyesho na kuyafunga rasmi Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ya Jubilei ya Miaka 50, akisisitiza kuwa maonesho hayo yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji, ubunifu, matumizi ya teknolojia na kuimarisha ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi.

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akifungua Kipazia kuashiria ufunguzi wa Msikiti wa Abrar, uliopo Fuoni Kibondeni, Mkoa wa Mjini Magharibi leo, tarehe 10 Julai 2026, wakati alipojumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa.

President

H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi

  • President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President

News and Events

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa na wahitimu pamoja na uongozi wa Taasisi ya Teknolojia ya India Madras (IIT Madras) akiwa Mgeni Rasmi katika

  • 17 Jul 2026
  • by Ikulu Staff

Rais Dkt. Mwinyi amesema Elimu na Ubunifu viwe chachu ya mabadiliko na Maendeleo ya Jamii

  • 17 Jul 2026
  • by Ikulu Staff

Rais Dkt. Mwinyi amesema kuwawezesha Vijana n a kuimarisha Mifumo ya Afya ni njia bora ya kuenzi urithi wa Mzee Mkapa.

  • 16 Jul 2026
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 16 Julai 2026, wakati wa Jukwaa la Nne la Kuuenzi Urithi wa Mkapa pamoja na Maadhimisho ya Mia

  • 16 Jul 2026
  • by Ikulu Staff
More News and Events

Videos

Facebook

Publications

  • Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu   Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi   kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.

    • 08 May 2026
  • Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu   Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.

    • 08 May 2026
  • Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.

    • 18 Feb 2026
  • HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI

    • 17 Jan 2024
  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President
  • Government Security Office (GSO)

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of State, President's Office, Finance and Planning
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

Talk to the President App

© Copyright 2026 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail