Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Mapema baada ya sala Eid El-Hajj alifika Ikulu Ndogo ya Pagali katika eneo maalum lililoandaliwa kwa ajili ya kuchinja mnyama wa (Udh-hiya), ikiwa ni sehemu ya ibada ya Eid, pamoja na kutoa mkono wa Eid kwa Masheikh wa Mkoa huo, kama ilivyo Sunna katika kusherehekea Sikukuu ya Eid El-Hajj.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea salam za heshima kutoka kwa Askari Polisi leo, tarehe 27 Mei 2026, kabla ya kulihutubia Baraza la Eid lililofanyika katika Uwanja wa Kufurahishia Watoto Tibirinzi, Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mpya, Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Firas Raad, aliyefika Ikulu, Zanzibar kujitambulisha baada ya kuchukuwa nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Nathan Belete, aliyemaliza muda wake wa kazi.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na aliyekuwa Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Nathan Belete, aliyefika Ikulu, Zanzibar kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi pamoja na kumtambulisha Mkurugenzi Mpya, Bw. Firas Raad.
Media
News and Events
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua nyiimbo, alipojumuika na vijana wa CCM katika sherehe ya “DKT. MWINYI UVCCM USHINDI PARTY” iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Vijana wa CCM Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Mapema baada ya sala Eid El-Hajj alifika Ikulu Ndogo ya Pagali katika eneo maalum lililoandaliwa kwa ajili ya kuch
27 May 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea salam za heshima kutoka kwa Askari Polisi leo, tarehe 27 Mei 2026, kabla ya kulihutubia Baraza la Eid lili
27 May 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt. Mwinyi amesema SMZ inaendelea kuchukua hatua kukabiliana na Gharama za Maisha.
27 May 2026
by Ikulu Staff
Dkt, Hussein Ali Mwinyi amewasili Pemba leo Tarehe 26 Mei 2026 kwa ajili kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid El Hajj pamoja na Baraza la Idd linalotarajiwa kufanyika Kesho.
26 May 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
English
Swahili