Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na MBLM Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa wajasiriamali wenye ulemavu alipokutana na makundi ya watu wenye ulemavu katika hafla ya kampeni zake iliyofanyika katika Ukumbi wa Idrissa Abdulwakil, Kikwajuni, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Media
News and Events
Rais Dkt. Mwinyi akishughudia utiaji wa saini wa mkataba wa ujenzi, ukarabati na upanuzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Kampuni ya Jiangxi International Economic and Technical Cooperation Co. Limited.Katika hafla hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Mngereza Miraji Mzee, amesaini kwa niaba ya Serikali ya Zanzibar, huku Mkurugenzi wa Kampuni ya Jiangxi International, Bw. Peng Chao, akisaini kwa niaba ya kampuni hiyo leo tarehe 13 Octoba,2025
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Kale na Utalii wa Oman, Mhe. Sheikh Salim bin Mohammed Al Mahrouqi, aliyefuatana na Balozi Mdogo wa Oman anayefanya shughuli zake Zanzibar, Mhe. Said Salim Al Sinawi, pamoja na ujumbe kutoka Wizara hiyo ya Oman Ikulu Zanzibar.
Media
News and Events
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekabidhi boti ya kubebea wagonjwa (ambulance boat) kwa wananchi wa Kijiji cha Kojani kisiwani Pemba.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya kumsalia Mwalimu Bi. Asha Haji Muhammad (Dada wa Sheikh Khamis Abdulhamid) iliosaliwa Msikiti wa Ijumaa Shangani Mkokotoni, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Suala la kudumisha amani ni jukumu la kila Mwananchi anayependa maendeleo ya nchi
17 Oct 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na MBLM Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa wajasiriamali wenye ulemavu alipokutana na makundi ya watu wenye ulemavu katika hafla ya kampeni zake iliyofanyika
15 Oct 2025
by Ikulu Staff
Dkt. Mwinyi ameahidi Uwezeshaji na Ushirikishwaji zaidi kwa Watu wenye Ulemavu katika Serikali Ijayo.
15 Oct 2025
by Ikulu Staff
Dkt.Mwinyi, ameahidi kuunda Tume Maalum itakayofanya tathmini ya kina kuhusu fidia walizolipwa wananchi waliopisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo ya Fumba, Nyamanzi,Dimani na Bweleo.
14 Oct 2025
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA HAFLA YA KILELE CHA SHEREHE ZA MWEZI WA SHUKURANI NA FURAHA KWA WALIPA KODI KATIKA UKUMBI WA HO
30 Dec 2023
English
Swahili