President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us
  • Ikulu
    State House Zanzibar

    State House Zanzibar

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na MBLM Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa wajasiriamali wenye ulemavu alipokutana na makundi ya watu wenye ulemavu katika hafla ya kampeni zake iliyofanyika katika Ukumbi wa Idrissa Abdulwakil, Kikwajuni, Mkoa wa Mjini Magharibi.

  • Media
    News and Events

    Rais Dkt. Mwinyi akishughudia utiaji wa saini wa mkataba wa ujenzi, ukarabati na upanuzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Kampuni ya Jiangxi International Economic and Technical Cooperation Co. Limited.Katika hafla hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Mngereza Miraji Mzee, amesaini kwa niaba ya Serikali ya Zanzibar, huku Mkurugenzi wa Kampuni ya Jiangxi International, Bw. Peng Chao, akisaini kwa niaba ya kampuni hiyo leo tarehe 13 Octoba,2025

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Kale na Utalii wa Oman, Mhe. Sheikh Salim bin Mohammed Al Mahrouqi, aliyefuatana na Balozi Mdogo wa Oman anayefanya shughuli zake Zanzibar, Mhe. Said Salim Al Sinawi, pamoja na ujumbe kutoka Wizara hiyo ya Oman Ikulu Zanzibar.

  • Media
    News and Events

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekabidhi boti ya kubebea wagonjwa (ambulance boat) kwa wananchi wa Kijiji cha Kojani kisiwani Pemba.

  • Media
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya kumsalia Mwalimu Bi. Asha Haji Muhammad (Dada wa Sheikh Khamis Abdulhamid) iliosaliwa Msikiti wa Ijumaa Shangani Mkokotoni, Mkoa wa Kaskazini Unguja.

President

H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi

  • President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President

News and Events

Suala la kudumisha amani ni jukumu la kila Mwananchi anayependa maendeleo ya nchi

  • 17 Oct 2025
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na MBLM Dkt. Hussein Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa wajasiriamali wenye ulemavu alipokutana na makundi ya watu wenye ulemavu katika hafla ya kampeni zake iliyofanyika

  • 15 Oct 2025
  • by Ikulu Staff

Dkt. Mwinyi ameahidi Uwezeshaji na Ushirikishwaji zaidi kwa Watu wenye Ulemavu katika Serikali Ijayo.

  • 15 Oct 2025
  • by Ikulu Staff

Dkt.Mwinyi, ameahidi kuunda Tume Maalum itakayofanya tathmini ya kina kuhusu fidia walizolipwa wananchi waliopisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo ya Fumba, Nyamanzi,Dimani na Bweleo.

  • 14 Oct 2025
  • by Ikulu Staff
More News and Events

Videos

Facebook

Publications

  • HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI

    • 17 Jan 2024
  • HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

    • 11 Jan 2024
  • RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024

    • 31 Dec 2023
  • HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA HAFLA YA KILELE CHA SHEREHE ZA MWEZI WA SHUKURANI NA FURAHA KWA WALIPA KODI KATIKA UKUMBI WA HO

    • 30 Dec 2023
  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President
  • Government Security Office (GSO)

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of State, President's Office, Finance and Planning
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

Talk to the President App

© Copyright 2025 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail